29 Sept 2008

Hizi ni miongoni mwa kazi za wanasanii wetu wa nyumbani ambazo zilinigusa nilipokuwa huko hivi karibuni.Nilichopenda kwenye hii ya kwanza,"Nangoja ageuke" ya MwanaF.A. ft AY, ni mchanganyiko wa midundo na video yenyewe.Ushirikishwaji wa mastaa wetu wa Kibongo umeongeza chachandu pia.


Hizi zilizosalia zilinivutia zaidi katika flavour na beats





0 comments:

Post a Comment

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.