29 Dec 2008


Dada yangu  ambaye pia ni Mhariri Mkuu wa Kituo cha Televisheni cha Channel Ten, Bernadina (Dinna) Chahali akiwa kwenye msiba na kuaga mwili wa mfanyakazi mwenzie,Marehemu Henry Makange.Picha kwa hisani ya Mrisho Blog na Father Kidevu.

0 comments:

Post a Comment

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.