28 Dec 2008

Haya ni maongezi ya ki-utu uzima,kwahiyo under-18s mnaombwa kutosoma post hii.Well,just saying it bcoz I know ishu ya umri katika dunia ya sasa ni more theoretical than practical.Anyway,"kuvunja bikra" ni ndoto ya wanaume wengi,na japo ni suala lisilozungumzika hadharani,wengi wa wanaodai kuwa wameshawahi kupata "bahati" hiyo huwa si wakweli (wanaongopa) na wale ambao kweli walishaangukiwa na "kismati" hicho huwa hawaaminiwi wanapotoa "ushuhuda" wao,na wakati mwingine kutakiwa watoe uthibitisho!How could they?

Na pengine wapo akina dada ambao wangetamani kutopeteza bikra "kabla ya muda mwafaka" lakini mara nyingi tukio hilo (la kupoteza bikra) hutokea kwenye foolish age.Inadaiwa (japo sina uthibitisho katika dai hilo) kwamba kuna something very special kwa "ungo kuvunjwa" na mume usiku wa kwanza baada ya ndoa.Hata hivyo,jamaa yangu mmoja anayeelekea kuwa specialist wa kitu chochote kinachohusiana na jinsia ya kike anadai kuwa suala la kuvunjishwa ungo siku ya ndoa lilitengenezwa tu na walinzi wa maadili ili kuhakikisha amri ya sita haivunjwi (kwa wasiofahamu,amri ya sita ni USIZINI.Na kidini,kuzini ni tendo la ndoa nje ya ndoa).

Well,sasa kuna product ambayo "inarejesha" bikra.Nimeweka inverted commas kwa vile urejeshaji huo ni more technological than biological. Ni mithili ya ku-hack elimu-viumbe ya sehemu nyeti.

0 comments:

Post a Comment

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.