3 May 2009


NIMEKUTANA NA BANDIKO HILI MAHALA FLANI.


TABIA SUGU ZA WANACHUO

1.Hupenda kwenda baa na kumbi za starehe kuliko Lecture na Semina.

2.Hushinda room kuliko Library.

3.Hufahamu mitindo ya mavazi kuliko Module.

4.Huogopa CARRY,SUP na DISCO kuliko dhambi.

5.Hufahamu waziri wa mikopo kuliko wahadhiri.

6.Huudhulia birthdays,harusi na starehe weekend kuliko Ibada.

7.Hutoa zawadi kubwa kwa boyfriend au girlfriend kuliko kwa yatima na wajane.

8.Hulinda ATM Cards na PENZI kuliko DESA na VITABU.

9.Wapo makini na ratiba ya BOOM kuliko UE.

10.Wanapenda haki ila wanakosa mbinu sahihi ya kuzipigania.

UNA LA KUONGEZA HAPO?TEH TEH TEH.
Picha kwa hisani ya Dullonet

0 comments:

Post a Comment

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.