26 Jun 2009


Kwa mujibu wa TMZ.COM (katika tafsiri isiyo rasmi)

Kufuatia habari za kifo cha Michael Jackson,watu luluki walikimbilia kwenye intaneti kiasi kwamba mfumo mzima (the World Wide Web) ulisimama.Social networks kama Facebook,Twitter,MySpace,AIM-zilikuwa miongoni mwa maeneo ya mtandao yaliyozidiwa na wingi waliotembelea maeneo hayo.Japo zote ziliendelea kufanya kazi (kufunguka) lakini kasi yake ilikuwa ni ndogo mno kutokana na wingi huo wa watu waliokuwa wakizitembelea.Mara ya mwisho kwa mtandao kukumbwa na idadi kubwa namna hiyo ni tukio la kuapishwa Barack Obama.

0 comments:

Post a Comment

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.