25 May 2010


Kijana ambaye yuko kwenye £ovely Gamble anaitwa Kisiri Elly anacheza part ya Frank. Huyu actor chipukizi wa Kitanzania ambaye ameingia katika fani ya usanii wa filamu. Kisiri amecheza filamu hii na staa za kitaaluma unaweza kufikiri ni mzoefu wa siku nyingi. Hivi tuzungumziavyo kesha tafutwa na Nollywood na ataanza production ya 'Man Alone' itakayotengenezewa Lagos na London shooting itaanza August mpaka September. Tumfagilie mbongo huyu ambaye anaanza career hii kwa kasi.

Mahojiano haya yamefanywa na Watayarishaji wa kipindi cha ALL ABOUT WOMEN ambacho presenter wake naye ni Dada wa kibongo aitwaye Tina George, Kipindi hiko hurushwa kwenye vituo vya television vya AILTV na Ben TV huku UK.

Onyesho maalum la Filamu ya £ovely Gamble kuchangia watoto yatima wanaoishi na virusi vya UKIMWI Litafanyika

JUMAMOSI TAREHE 29/05/2010.
SAA 12 Jioni MPAKA SAA 5 NA NUSU Usiku.
WYCLIFFE VENUE,
233 KINGS ROAD,
READING, RG1 4LS

WATANZANIA WOTE WA UK MNAKARIBISHWA
-------------------------------------------------------------------
BARAKA BARAKA

0 comments:

Post a Comment

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.