6 May 2010

Leo ni siku ya uchaguzi mkuu hapa Uingereza.Vituo vya kupiga kura vilifunguliwa mapema asubuhi na inatarajiwa kuwa matokeo ya uchaguzi huo yatakuwa ya 'kukabana koo' kati ya vyama vikuu vya Labour,Conservative na Liberal Democrats.Hadi usiku wa jana,kura za maoni zilikuwa zikionyesha kwamba chama cha Conservative kingevuna viti vingi lakini visivyotosha kuunda serikali ZAIDI SOMA HAPA.

0 comments:

Post a Comment

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.