20 Sept 2010



Hii ni Kazi ama Unyanyasaji wa watoto..?

Kwakweli nimesikitika sana baada ya kuona hii video ya documentary ya Mtanzania aliewaiba watoto walemavu  na kuwapeleka nchini Kenya na kuwafanya omba omba, Anawapeleka asubuhi na mapema sa kumi na Moja na kuwasambaza maeneo mbali mbali na usiku anawapitia kuwachukua na baaae anakusanya mafao, kijana huyo wakitanzania nchini Kenya hana kazi ingine zaidi ya hiyo hapo,Je hii ni sawa na watanzania wenzangu tunalizungumziaje swala hili? maana ni zaidi ya unyanyasaji wa wa watoto.

Video husika ni hii hapa chini



1 comment:

  1. Irresponsible, corrupted Government leaders leading into this inhuman issues such a killing of Albino, shame child abuse activities in Tanzania..

    I believe must be more illigal and abusive activities going on hidden in public eyes.
    The public needs to react from the poll stations on 31st October to show there anger by voting against CCM....

    Because CCM leaders stinks of blessing illigal activities.

    ReplyDelete

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.