20 Sept 2010

Last night,I wrote an email to Synovate Tanzania Country Manager,Aggrey Oriwo.I am really grateful to him for responding to my email in which I enquired why their recent survey intentionally avoided disclosing which presidential candidate was leading in the race.In his reply,Oriwo categorically refuted my allegation that his organisation was playing politics in favour of the ruling party CCM.He went further to point out that Synovate is a company owned by Aegis Group,a global giant which is listed on the London Stock Exchange.

However,although Oriwo explained that their recent  survey  primarily focused on how local media covered the election campaigns,he did not clarify as to why it lacked a question,or rather an answer to the public,on voting intentions.

Well,one doesn't have to be a genius to assume that had Kikwete or CCM been leading in the polls,Synovate-and most likely REDET,would have already publicised their "findings".

Now I see the logic in the saying "ACTIONS SPEAK LOUDER THAN WORDS".Synovate's silence has unintentionally revealed what the pollster is trying to conceal to the public: Kikwete is certainly trailing in the polls.

1 comment:

  1. HIstoria ya maendeleo Tanzania
    1961 - Uhuru - tanzania ilikua imeendelea zaidi ya Malaysia, Singapore (kijiji cha wavuvi mashariki ya mbali miaka hiyo sasa kikoje?) Chama tawala TANU - Baba wa CCM
    1964 - Mapinduzi Zanzibar na Muungano - Safi Sana tick
    1967 - Azimio la Arusha - Tanzania ya geuzwa kuwa Maabara ya Maendeleo - Wananchi wa wafu wa mawazo ya maendeleo - kwa sababu serkali itafanya kila kitu? (TANU)
    Afya, elimu vyawa bure? kweli? Matokeo ya kuanzisha Taifa la Mambumbumbu wasio jua kuwaza na kuchanganua mambo ya maendeleo yao - kila kitu eti kufanywa na serkali? (TANU)
    Kuua Wananchi Kusimamia Maendeleo yao Mfano Kuua Serikali za Mitaa, Kufuta Kodi?Kweli ni akili hiyo?
    1970s - 1980s Maanguko Mabomoko Makubwa ya Tanzania yafuatayo:
    1 Elimu - Kufuta Mitihani ya Primary!, Kutaifisha Shule, Wakubwa Kuanza Kupeleka watoto wao kusoma nje? Kwanini?jiulize! Kufa kwa elimu ya watu wazima, UPE?, Azimio la Musoma - kufanya watu wadumae, Kuingiza zana ya kuchaguliwa sio kufaulu, Kufanya wasiosoma kuwaweka solomba vijana waliokuwa wanachipukia kuwa wasomi watoto wa kujenga taifa zuri linaloendelea kuanguka moja kwa moja na mengi
    2. Afya - Ndio imedorora kabisa yapo mengi - Zahanati kukosa madawa etc
    Mioundo mbinu - Hata barabara za lami zilizokuwepo miji yote mitaani kubaki madimbwi tupu - check Kariakoo, Ilala, Magomeni, Temeke, MAjengo Mbeya, Morogoro, Tabora, Shinyanga, MWanza etc, reli na mengineyo kufa - Mchezo wa ten percent unaua hata barabara mpya kwasababu mkandarsi akikupa 10% yeye atachukua kiasi gani? hatujui? maana umemtibulia bajeti - hivyo unajua mwenyewe
    KUNA MENGI MENGI MENGI JAMANI AMKENI TOENI HIZI TAKATAKA - MBONA KENYA, ZAMBIA WAMEWEZA? SISI TUNASHINDWA NINI? HAYA!

    ReplyDelete

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.