9 Apr 2011

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akikodolea macho ambulance ya bajaji.Labda macho yangu tu lakini naona kama Pinda hana hakika kama tupo karne ya 21 au tunarejea Zama za Mawe!
Na mwenye dhamana ya afya ya Watanzania kwa sasa ni Babu wa Loliondo.

HII NDIO TANZANIA ZAIDI YA UNAVYOIJUA


1 comment:

  1. Ive said this before hizi ambulance za bajaji na motorcycles kwanini jamani?..why do we opt for cheaper more painful means of transport for the needy? while we spend so arrogantly on other sectors that make no absolute sense...

    ReplyDelete

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.