16 May 2011



Hongera sana kwa mdau Godwin Habibu Meghji kwa kuhitimu Shahada ya Uzamili ya Sayansi Katika Mawasiliano ya Teknolojia iliyobobea katika uongozi wa miradi,aliyotunikiwa na Bodi ya wadhamini wa vyo vikuu vya Maryland,nchini Marekani.Kwa niaba ya wasomaji wa tovuti hii nakutakia kila la heri nikiamini kuwa shahada hiyo itakuwa chachu katika jitihada zetu za kizalendo za kuitumikia Tanzania yetu mahala popote pale (yes,nchi yetu inajengwa ndani na nje ya nchi)

0 comments:

Post a Comment

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.