tag:blogger.com,1999:blog-26327165.post2341175895548364185..comments2023-12-12T11:46:45.188+00:00Comments on Kulikoni Ughaibuni : MWALIMU TUNAKUKUMBUKA LAKINI....Evarist Chahalihttp://www.blogger.com/profile/08220429042701710191noreply@blogger.comBlogger1125tag:blogger.com,1999:blog-26327165.post-34829732844904865762009-10-14T11:29:58.082+01:002009-10-14T11:29:58.082+01:00Enzi za Mwalimu ukimbishia angeku-KAMBONA!
Nafikir...Enzi za Mwalimu ukimbishia angeku-KAMBONA!<br />Nafikiri ndio maana Waheshimiwa wakaribu naye walishastukia mkao wa NDIO Mzee!<br /><br />Na labda kulikuwa hakuna ujanja wakati ulishaambiwa ''ZIDUMU FIKRA SAHIHI za MWENYEKITI!''.<br />Unafikiri sasa ungezibishiaje baada ya kudai FIKIRA za Mwenyekiti ni SAHIHI?<br />:-(Simon Kitururuhttps://www.blogger.com/profile/08443099916542057958noreply@blogger.com