Showing posts with label BIG BANG THEORY. Show all posts
Showing posts with label BIG BANG THEORY. Show all posts

10 Sept 2008

Jana niliongelea kidogo kuhusu The Big Bang Theory,na hofu zilizojitokeza kwamba huenda leo,Jumatano,ingekuwa mwisho wa dunia.Well,experiment hiyo inaendelea huko kwenye underground tunnel lililosambaa mpakani mwa Uswisi na Ufaransa na hakuna dalili kwamba dunia itafikia tamati leo!Hata hivyo,hofu ya Big Bang imepelekea mwisho wa dunia huko India.Well,sio kwa nchi nzima bali kwa binti mmoja ambaye aliamua kujitoa uhai wake baada ya kuwa traumatized na taarifa za vyombo vya habari kuhusu uwezekano wa mwisho wa dunia kutokana na experiment ya Big Bang.Pengine tutasikia mengi pindi experiment hiyo itapomalizika.Habari kamili kuhusu binti wa India ni hii HAPA

Kuna hii kitu wanaita The Big Bang Theory inaelekea kuwachanganya watu wengi wakiwamo wanasayansi wenyewe.Kwa vile mie sio mzuri sana kwenye maeneo hayo,BONYEZA HAPA kupata undani zaidi wa hii kitu.

Kwa upande wa siasa za Marekani,kuna wanaomuona Sarah Palin kuwa hana tofauti na Islamic fundamentalists ambao mgombea-mwenza wake,John McCain,amefanya kuwa moja ya ajenda zake kuu za kushinda uchaguzi.Habari nzima iko HAPA

Na burudani kidogo kutoka kwa John Legend ft Andre 3000 katika Green Light.

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.