Ama kweli wenzetu wako serious na siasa zao.Kama kutokea kwenye kipindi cha televisheni cha mapishi kumemng'oa madarakani aliyekuwa Waziri Mkuu wa Thailand,Samak Sundarajev,sijui ingekuwa ishu kama ya Richmond huyu mwanasiasa angeepuka kitanzi.In a bigger picture,effectiveness ya Mahakama za Katiba ingeweza kuwa nyenzo muhimu sana kwa uwajibikaji wa viongozi wetu na maamuzi/matendo yao.Habari kamili kuhusu mkasa huu BONYEZA HAPA
Showing posts with label CONSTITUTION. Show all posts
Showing posts with label CONSTITUTION. Show all posts
Subscribe to:
Posts (Atom)