Showing posts with label HARUSI. Show all posts
Showing posts with label HARUSI. Show all posts

24 Mar 2012

 

Mtembelee Bloga Matiya katika uwanja wake wa SAUTI YA MNYONGE unaopatikana katika anuani hii http://www.malkiory.com/

18 Jul 2008

The family of the late Hon. Richard Mwakasege (MP) of Mbeya Town would like to inform you:

Hon./Rev./Prof./Mr 7Mrs./Mr./Miss.

...............................................................................

That their beloved son Leonard Richard (Ghetto) intend to wed on october 2008. Being a close relative or friend, we kindly ask you to donate to this event.

Please submit your donation to the one who gave you this card before 30th September 2008.



we thank you in advance.



Familia ya Marehemu Mhe: Richard Mwakasege (MB) wa Mbeya Mjini wanayofuraha kukujulisha/kuwajulisha

Mhe./Mch./Prof./Bw & Bi./Bw./Bi.

...............................................

kuwa kijana wao mpendwa

Leonard Richard (Ghetto) anatarajia kubariki ndoa mwezi wa oktoba 2008. Ukiwa kama ndugu, jamaa au rafiki wa karibu tunaomba mchango hali na mali ili kufanikisha shughuli hii.

tafadhali wasilisha mchango wako kwa aliyekupa kadi hii kabla ya tarehe 30/09/2008.

tunatanguliza shukrani zetu.



wasiliana na

Mhe. Salehe Ramadhani Njaa (Advocate) simu 0784-333375

Shaibu Buzohera 0713-333375

Lwitiko Mwalukasa 0754 520353

Everly Mwakyulu 0716 303808

Leonard Richard (Ghetto) 0754 286157.




Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.