Showing posts with label HOSNI MUBARAK. Show all posts
Showing posts with label HOSNI MUBARAK. Show all posts

12 Feb 2011


Serikali ya Uswisi imetangaza kutaifisha mali zote za Dikteta Hosni Mubarak,ambaye jioni hii ameng'olewa madarakani na nguvu ya umma.Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya kimataifa,haijafahamika iwapo serikali za Uingereza,Marekani na nchi nyingine za Magharibi ambako Mubarak ana mali zake (na kujichumia utajiri unaokadiriwa kufikiwa dola za Kimarekani Bilioni 70) nazo zitachukua hatua kama hiyo ya Uswisi au la.Je mafisadi wetu huko nyumbani wanajifunza lolote katika sakata hili?
I just hope they do!

11 Feb 2011

Habari zaidi baadaye

28 Jan 2011












Chanzo: The Guardian

KAMA TUNISIA WALIFANIKIWA,MISRI NAO WANAWEZA KUFANIKIWA.KAMA TUNISIA NA MISRI WAMEDIRIKI,WAANZANIA NAO WANAWEZA.PENYE NIA PANA NJIA.IT CAN BE DONE IF WE ALL PLAY OUR PARTS.

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.