Showing posts with label KUBENEA. Show all posts
Showing posts with label KUBENEA. Show all posts

11 Dec 2008


SALAAM ZA MWAKA MPYA

 

Uongozi na wafanyakazi wa

MwanaHALISI,

hata ndani ya kifungo cha

siku 90 cha gazeti hili,

tunayo furaha kukutakia

heri katika sherehe za msimu huu

zinazoambatana na

kuaga mwaka huu na kukaribisha

Mwaka Mpya.

Tumetambua na kuthamini

upendo na ujasiri wako katika kutetea

uhuru wa mawazo na uhuru wa

habari; na tunaahidi

 kuendelea kutenda kwa mujibu wa

uhuru, haki na wajibu

mara baada ya kurejea ulingoni. 

Heri ya Mwaka Mpya – 2009


Saed Kubenea

Mkurugenzi Mtendaji

Hali Halisi Publishers


Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.