Showing posts with label LAX. Show all posts
Showing posts with label LAX. Show all posts

11 Sept 2008

Sidhani kama kuna ubishi kwamba Kanye West ana kipaji cha hali ya juu katika muziki,both as a rapper and a producer.Sasa sijui ni yale ya mgema akisifiwa tembo hulitia maji au ni matokeo ya ile ajali ambayo almanusura ichukue uhai wake,lakini something is wrong with Kanye.Hebu angalia HAPA kasheshe aliyoizua leo huko Los Angeles Airport.

Hapa chini kuna kazi mbili za msanii huyo.Ya kwanza ni wimbo wake mwenyewe wa Through The Wire na ya pili ya ni production yake kwa The Game katika wimbo Dreams.




Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.