Showing posts with label MOUSAVI. Show all posts
Showing posts with label MOUSAVI. Show all posts

13 Jun 2009

AHMADINEJAD AMEKUWA AKISHUTUMIWA KWAMBA AMESHINDWA KUBORESHA UCHUMI WA IRAN

Kwa mujibu wa televisheni ya taifa ya Iran,Rais Mahmoud Ahmadinejad amefanikiwa kutetea nafasi yake kwenye uchaguzi mkuu uliofanyika nchini humo wiki hii.Kwa mujibu wa taarifa hizo,Ahmadinejad amepata asilimia 67 ya kura huku mgombea wa mwenye mrengo wa mageuzi,Waziri Mkuu wa zamani Mir Hossein Mousavi,akiambulia asilimia 30. SURA YA MAGEUZI.UKURASA WA MOUSSAVI KWENYE FACEBOOK.

Hata hivyo,kuna taarifa kwamba Mousavi nae anadai ameshinda uchaguzi huo.Wagombea wengine ni pamoja na mwanazuoni mwanamageuzi Mehdi Karroubi (picha inayofuata chini) na kamanda mhafidhina wa Revolutionary Guard Mohsein Rezaei (picha ya mwisho chini).

VYANZO: Kurasa mbalimbali mtandaoni

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.