Makala hii ilipaswa kuchapishwa katika toleo la wiki hii la Raia Mwema, Jumatano Oktoba 14 lakini ikashindikana kwa sababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu. Hata hivyo, ilichapihswa jana katika gazeti-dada la Raia Tanzania. Hebu angalia kwanza picha na nukuu ya 'mwanamabadiliko' Kingunge, kisha usome makala husika chini ya picha hiyo
BONYEZA MAKALA KUIKUZA IWE UKURASA MZIMA