Showing posts with label SOUTH AFRICA. Show all posts
Showing posts with label SOUTH AFRICA. Show all posts

16 May 2009

UMASIKINI WA WATANZANIA (KAMA UNAVYOONYESHWA KATIKA PICHA YA JUU kwa hisani ya Dr Faustine) UNACHANGIWA ZAIDI NA MAFISADI WACHACHE WASIONYIMWA USINGIZI NA MISHANGAO KAMA HIYO YA BALOZI WA SAUZI.HAWANA MUDA WA KUJALI NANI ANASEMA NINI,ALIMRADI VOGUE ZAO (kama katika picha ya mfano hapo chini) ZINAENDELEA KUWAPA UJIKO MTAANI!YALEYALE YA MTU ANAKUPORA MKEO KISHA ANAMPTISHA MBELE YAKO MAKUSUDI KUKURUSHA ROHO!
Na Claud Mshana

BALOZI wa Afrika Kusini nchini amesema anashangazwa kuona nchi iliyojaliwa rasilimali nyingi kama Tanzania kujiendesha kwa kutegemea misaada kutoka nchi wahisani na marafiki.

Balozi huyo, Sindiso Mfenyana alisema rasilimali zilizo nchini zinaweza kugeuzwa na kuwa tegemeo la misaada kwa nchi nyingine.

Mfenyana alisema hayo wakati akizungumza na wahariri mbalimbali wa vyombo vya habari jijini Dar es salaam. Mfenyana alisema inashangaza kuona Tanzania ambayo imebarikiwa kuwa na rasilimali za kila aina ikiendelea kutegemea misaada katika uchumi wake.

"Kama rasilimali zilizopo zitatumiwa vizuri kwa maendeleo ya nchi hii na pia kukawa na usawa katika matumizi ya rasilimali hizo, nchi hii ingekimbiliwa na watu wengine kwa misaada," alisema balozi huyo.

Mfenyana alisisitiza kuwa Tanzania haina haja kuhofia wawekezaji kutoka Afrika Kusini, hasa wazungu kwa sababu zama za ubaguzi wa rangi zimeshapita na kwamba kilichopo sasa ni kuona nchi inakuwa na ushirikiano wenye manufaa bila kujali rangi wala historia baina ya nchi za Afrika.

"Ni ajabu kuona mtu anakuwa na wasiwasi kuingia ubia wa kiuchumi na 'Mzungu', pengine ni kutokana na historia iliyokuwepo kabla… inawezekana kuwa vyombo vya habari havikutangaza vya kutosha kuwa vita vya ubaguzi wa rangi vimekwisha," alisema.

"Leo hii mtu mweusi wa Afrika Kusini anakuwa na chuki na mtu mweusi mwenzake kuliko hata Mzungu, jambo hili linaonyesha kuwa enzi za kuchukiana kwa misingi ya rangi imeshapita.

Ni lazima tuendeleze uhusiano wetu kwa manufaa ya nchi zetu." Kwa upande wake, Meneja wa Jukwaa la Wafanyabishara wa Tanzania na Afrika Kusini, ambaye pia ni meneja wa hoteli ya Southern Sun, Adam Fuller alisema kumekuwa na maendeleo chanya ya ushirikiano wa kibiashara kwa nchi hizi mbili.

Alifafanua kuwa tofauti na zamani, Tanzania ilikuwa ikijitenga kiushirikiano na nchi nyingine labda kwa kuhofia ushindani, hivi sasa kuna tofauti kubwa na kuongeza kuwa wataendelea kushirikiana zaidi kwa kutumia fursa zilizopo kibiashara.

Kuhusu tatizo la umasikini nchini humo ambalo linachangia kwa kiasi kikubwa kuwepo na wimbi la uhalifu, Mfenyana alisema serikali ya nchi yake imejipanga kukabiliana na hali hiyo na tayari hatua madhubuti zimeshachukuliwa kukabiliana na
tatizo hilo.

CHANZO: Mwananchi

INA MAANA BALOZI HUYU HAJUI KUWA RASILIMALI ZETU TAYARI NI MSAADA KWA MAFISADI?NCHI YETU IMEGEUZWA SHAMBA LISILO NA MWENYEWE,WATU WANAJICHUMIA WEE MPAKA WANAKINAI NA KULETA NYODO!INATIA UCHUNGU LAKINI NDIO HIVYO TENA.


22 Apr 2009


25 Sept 2008

While the new South Africa's president is being sworn in (shown live on CNN),his ousted predecessor,Thabo Mbeki, is nowhere to be seen at the ceremony.


Breaking News on CNN

24 Sept 2008

Eleven key cabinet ministers and three deputies have resigned and will leave their posts along with President Thabo Mbeki Thursday. However, as VOA's Delia Robertson reports from our Johannesburg bureau, the Finance Minister says he will be available to the incoming president if he chooses.

Thabo Mbeki, 21 Sep 2008
Thabo Mbeki, 21 Sep 2008
The news of the resignations came as a great shock to South Africans already anxious following the resignation of Mr. Mbeki and was immediately felt in the market. The currency lost 18 points against the dollar but rallied slightly when it was revealed that Finance Minister Trevor Manuel is willing to continue in his post.

Manuel's spokesperson, Thoraya Pandy, told national radio Minister Manuel has no desire to impose himself on the incoming president.

"It also provides space and opportunity for the new president to choose whichever ministers he wants in cabinet," she said. "And the minister therefore provides that space to say that you are not duty bound to keep me on as your minister of finance, but I am willing to serve if that is what you are asking of me."

Pandy says that the deputy finance minister is also available for re-appointment.

One economist suggested the Manuel may also have been concerned about the economic direction the new administration would take and that by resigning he had put himself in a position to stipulate the conditions of his return to cabinet.

University of Johannesburg political analyst Adam Habib tells VOA that up until yesterday it appeared as though both factions in the ANC had agreed to a smooth transition. Now he says, it seems clear that despite the reassuring statements from the ministers, something serious has happened to upset Mr. Mbeki's supporters.

"Well the big question is this, how come on Saturday afternoon when [Finance Minister Trevor Manuel] was approached and prevailed upon to stay, he had agreed to do that," said Habib. "Clearly something has changed in the last 24 hours, if we sift through the diplomatic speak something has happened that has antagonized such a large lay of people."

Some commentators say that the tone of a press conference addressed by ANC president Jacob Zuma on Monday may have offended some in the cabinet. South Africans were left confused following the press conference in which Zuma failed to offer certainty to the country on a number of issues, and some analysts described his attitude as flippant and lacking in leadership.

Deputy President Phumzile Mlambo-Ngcuka waves from a doorway, following her resignation, in Cape Town, South Africa, 23 Sep 2008
Phumzile Mlambo-Ngcuka waves from a doorway, following her resignation, in Cape Town, South Africa, 23 Sep 2008
Among those leaving is Deputy President Phumzile Mlambo-Ngcuka, who spearheaded a turnaround in government HIV/AIDS policies and forged a partnership between government and AIDS organizations to implement it.

Other ministers who have resigned include Defense Minister Mosioua Lekota, Public Service Minister Geraldine Fraser-Moleketi, Sydney Mufamadi, Minister of Provincial and Local Government and Minister of Public Enterprises, Alex Erwin. All are experienced ministers who run key departments in government.

In a hastily arranged press conference in response to the resignations, ANC secretary general Gwede Mantashe said the party did not ask any minister to leave and hoped they would stay on.  

SOURCE: VOA

20 Sept 2008

The ANC  Executive Commettee has just finished its meeting with a call for Thabo Mbeki to resign.

UPDATE:Mbeki agrees to resign,according to the Associated Press.

Hatma ya Thabo Mbeki katika chama chake cha ANC na nafasi yake ya Urais iko katika hatihati kufuatia  Jacob Zuma kufutiwa mashtaka yaliyokuwa yakimkabili.Soma kwa undani zaidi HAPA 

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.