Showing posts with label TERRORISM. Show all posts
Showing posts with label TERRORISM. Show all posts

24 Jan 2011

Makao Makuu ya MI6 jijini London
Makao Makuu ya Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) jijini London

Mashirika ya ushushushu ya Uingereza,MI5 na MI6,leo yalitarajiwa kuieleza Mahakama Kuu ya hapa kwamba siku zijazo  taarifa za kiusalama zitazokusanywa nje ya nchi hazitawekwa hadharani kortini hata kama zimepatikana kwa kuwatesa watuhumiwa (torture).

Mwaka jana,mahakama ya rufaa ilitupilia mbali kesi kwa kile ilichokiita jaribio la kudhoofisha kanuni ya msingi ya sheria: mshtakiwa lazima aone na kusikia ushahidi uliotumiwa kujenga kesi dhidi yake.

Sasa mashirika hayo ya usalama wa ndani (security) na ujasusi (intelligence) yanapambana na uamuzi huo.Baadhi ya vyombo vya habari vya hapa,magazeti ya The Guardian na The Times,na Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC)-chombo cha umma hicho kama TBC1,Daily News na Habari Leo-pamoja na vikundi vya haki za binadamu vya Liberty na Justice,vilitarajiwa kutoa hoja mbele ya majaji waandamizi kabisa wa hapa kuwa kama hoja ya mashirika hayo ya kishushushu ikikubaliwa,itabomoa nafasi ya kesi kuwa ya haki na kumomonyoa  imani ya umma kwa maamuzi ya mahakama.Mawakili wa taasisi hizo za habari na haki za binadamu walitarajiwa kudai kuwa kanuni hizo ni muhimu hasa panapokuwa na madai ya maafisa wasiomudu majukumu yao ipasavyo (incompetent) au kutenda makosa.

Shauri hilo linatokana na madai ya raia (citizens) sita na mkazi (resident) mmoja wa Uingereza waliokuwa wakishikiliwa katika jela ya kuhifadhi watuhumiwa wa ugaidi ya Ghuba ya Guantanamo,kwa kile wanachodai ushirika wa siri kati ya MI5 na MI6 na mamlaka za Marekani.Watuhumiwa hao waliyataka mashirika hayo ya ushushushu kuonyesha ushahidi wa nyaraka kuhusu ufahamu wa  mashirika hayo katika uamuzi wa siri wa Marekani kuwapeleka jela hiyo,na ushiriki wa MI5 na MI6 katika suala hilo.

Japo watuhumiwa hao wameshafikia makubaliano ya fidia inayokisiwa kuwa mamilioni ya pauni za Kiingereza  (baada ya kuachiwa kutoka Guantanamo),mashirika hayo ya kishushushu yanataka kuanzisha kanuni mpya kwamba hakuna taarifa ya kiusalama itakayowekwa hadharani kwenye kesi yoyote ile ya madai au ya jinai.Tayari MI5 na MI6 wameshaonyesha wasiwasi wao katika mgogoro wa kitambo sasa kati yao na majaji wa mahakama kuu juu ya shinikizo kwa mashirika hayo kuonyesha ushahidi wa kuhusika kwao katika mateso aliyopewa (mmoja wa watuhumiwa hao) Binyam Mohamed,mkazi wa Uingereza aliyeshikiliwa kwa siri katika jela nchini Pakistan na Morocco kabla ya kupelekwa Guantanamo.Majaji waruka pingamizi la aliyekuwa 'Waziri wa Mambo ya Nje' (Foreign Secretary) wa hapa ,David Miliband,na kuweka hadharani muhtasari wa taarifa za (Shirika la Ujasusi la Marekani) CIA kwa MI5 na MI6.

Kama mashirika hayo ya usalama na ujasusi yakishinda madai yao,taarifa yoyote ya kiusalama na/au kijasusi inayohusu kesi ya madai au jinai itaonyeshwa kwa majaji na waendesha mashtaka pekee na sio washtakiwa au hata mawakili wao.Badala yake,taarifa hizo zitaonyeshwa kwa "mawakili maalumu" waliohakikiwa kiusalama (vetted).

Mwaka huu, Serikali ya Uingereza inatarajiwa kuchapisha muswada kupendekeza kipengele cha sheria kinacholitaka Bunge kuzuwia ushahidi wa uliopatikana kwa njia za ushushushu kuwekwa hadharani kortini,hatua ambayo inapingwa na majaji.  

Habari hii nimeitafsiri (kadri nilivyoweza) kutoka toleo la jana la gazeti la The Guardian la hapa Uingereza.Lengo la kutafsiri na kuiweka habari hiyo hapa bloguni ni kutoka changamoto kwa vyombo vyetu vya habari-hususan vya umma-kusimamia haki za jamii.Wengi wetu tumekuwa tukihudhunishwa na namna TBC,Daily News na Habari Leo,taasisi za habari zinazoendeshwa kwa fedha za walipakodi (pasipo kujali itikadi zao za kisiasa) wanavyoendesha shughuli zao kana kwamba ni vyombo vya habari vya CCM.Ikumbukwe kuwa vyombo vya habari ni mhimili  wa nne wa utawala wa nchi (pamoja na Bunge,Mahakama na Serikali),na hivyo kuwa na wajibu wa kutopendelea au kuegemea upande wowote dhidi ya maslahi ya umma.
    

4 Oct 2010

France


France


Sweden


Germany

Add caption


3 May 2010

15 Jan 2010


The US Government has released a new age-enhanced photograph of al-Qaeda leader Osama bin Laden as he may look now without his trademark long beard...MORE

8 Jul 2009


Neo-Nazis are plotting a 'spectacular' terrorist attack on Britain to fuel racial tension, Scotland Yard's counter-terrorism officers fear.

Senior officers have increased their surveillance of suspects to monitor their ability to carry out a deadly attack aimed at causing a 'breakdown in community cohesion'.

The chilling warning comes after last month's startling gains by the BNP in the local and European elections which many fear may 'embolden' violent Far-Right extremists.

Commander Shaun Sawyer, from the Met's specialist operations wing told a meeting of British Muslims last night: 'I fear that they will have a spectacular ...

'They will carry out an attack that will lead to a loss of life or injury to a community somewhere. They're not choosy about which community.'

His comments came after Commissioner Sir Paul Stephenson asked officers to examine what effect the recession could have on far-right violence.

And the news mirrors similar warnings of the threat from far-right sympathisers issued in America in recent months.

While countering a threat from Islamic extremists remains the priority many officers now believe that funds need to be funnelled towards preventing a possible strike by the Far-Right.

Threat level in the UK may be downgraded, says terror chief

Despite the warning, Assistant Commissioner John Yates today warned that counter terrorism police face budget cuts.

He admitted savings must be made in two years time despite the risks posed by the looming London 2012 Olympic Games.

The senior officer, who took control of Scotland Yard's specialist operations wing three months ago, said it would be "naive" to think counter terrorism work would escape the recession.

Last weekend it was revealed that a network of suspected extremists with access to 300 weapons and 80 bombs has been uncovered by counter- terrorism detectives.

Thirty-two people were questioned by police and 22 properties were raided over an alleged plot to bomb mosques.

It was the biggest terrorist arms haul since the IRA mainland bombings in the 1990s.

Sir Norman Bettison, the chief constable of West Yorkshire, said: 'The big bad wolf is still the Al-Qaeda threat.

'But my people are knocking over right-wing extremists quite regularly. We are interdicting it so that it doesn't first emerge into the public eye out of a critical incident like an explosion.'

It is more than 10 years since neo-Nazi nail bomber David Copeland attacked three targets in London in 1999.

Three people died at the Admiral Duncan gay pub in Soho.

Copeland also targeted the Muslim community in Brick Lane, east London, and a supermarket in Brixton, south London.

Abdurahman Jafar of the Muslim Safety Forum, where the concerns were raised, said:

'Muslims are the first line of victims in the extreme right's campaign of hate and division and they make no secret about that.

'Statistics show a strong correlation between the rise of racist and Islamophobic hate crime and the ascendancy of the BNP.'

Mark Gardner, of the Community Security Trust, which monitors violence against Jews, said there has been a surge in right-wing incidents.

He said: 'Ten years after the Nazi nail bombings in London, we are seeing increasing numbers of neo-Nazis being arrested in their attempts to start some kind of so-called race war.

'It is the Muslim community that appears to be most targeted, but all of society is at risk, and we are in regular discussion with police about the problem.

'Worse still, the recent electoral successes for the BNP may cause some would-be terrorists to be further emboldened in their actions.'

Last year neo-Nazi Martyn Gilleard, 31, was convicted of three terrorism offences and jailed for 16 years.

Gilleard idolised Adolf Hitler and urged sympathisers to act to preserve the 'purity of the white race'.

When police raided his flat they found bullets, swords, knives and four nail bombs under a bed used by his five-year-old child.

Officers also found DIY bomb manuals, a guide on making a sub-machine gun and internet instructions on carrying out assassinations by poison.

A speech he had recorded in a notebook mentioned 'killing Muslims, blowing up mosques and fighting back'.

No one at the Muslim Safety Forum was available for comment. The Metropolitan Police declined to comment.

Last month a white supremacist with links to the BNP shot dead a security guard at Washington's Holocaust Museum in a racially-motivated killing.

Before launching the attack, 88-year-old James von Brunn sent out an email claiming: 'It's time to kill all the Jews.'

Von Brunn was shot and wounded by museum security officers after he walked into the packed tourist attraction and began firing indiscriminately.

9 Apr 2009

Twelve men have been arrested during a major anti-terror operation which was triggered by a top police officer's security blunder. Skip related content

Eight addresses in Liverpool, Lancashire and Greater Manchester were raided by counter-terrorism police in connection with a suspected al-Qaeda plot.

One man was held at Liverpool John Moores University while four others were arrested in the Toxteth and Wavertree areas of the city during the operation by officers from the North West Counter-Terrorism Unit, Merseyside Police, Greater Manchester Police and Lancashire Constabulary.

In Greater Manchester, two men were held at an internet cafe in Cheetham Hill Road and two others were arrested at an address in Galsworthy Road while another man was detained on the M602.

In Clitheroe, Lancashire, two security guards were reportedly arrested at a Homebase store.

It has emerged that the raids had to be brought forward after Metropolitan Police Assistant Commissioner Bob Quick was earlier photographed walking into 19 Downing Street carrying sensitive documents, some of which could be read.

One of the papers, which was clearly marked "secret", is said to have carried an outline briefing of an ongoing counter-terrorism operation and reportedly included the names of several senior officers, locations and details about the nature of the threat.

Mr Quick, the UK's most senior anti-terror officer, had been due to meet Prime Minister Gordon Brown and Home Secretary Jacqui Smith. He has apologised to Metropolitan Police Commissioner Sir Paul Stephenson, saying he "deeply regretted" the incident.

At the Liverpool university, terrified students were held inside the main library on Maryland Street for up to 30 minutes as two Asian men in their mid to late 20s were searched by police.

Craig Ahmed, 24, a business student from Maghull, Merseyside, said: "Suddenly there was all shouting and commotion outside so I went to the window and saw about eight police officers.

"One of them was armed and was pointing his gun at two men who were ordered to lie face down on the ground. For about half an hour they held the men on the floor. The police were shouting things at them but I couldn't hear what was being said."

Elsewhere, there were multiple arrests as armed police raided an internet cafe and other addresses in Cheetham Hill in Manchester.

Police also sealed off a terrace of properties in Earle Road in the Wavertree area of Liverpool while arrests were made at a Homebase store in Clitheroe, Lancashire.

Meanwhile, Whitehall officials are said to be furious about the security breach.

But it is not the first time Mr Quick, who returned to the Met last year from Surrey where he was chief constable, has become embroiled in controversy. Last December he apologised for an outburst in which he accused senior Conservatives of leaking a story about his wife's business interests.

Mr Quick faced unwanted newspaper headlines after it emerged his wife Judith was running a luxury car hire firm from their home and details of their address were published on a website.

The stories followed hot on the heels of his involvement in overseeing the arrest of shadow immigration minister Damian Green as part of a Whitehall leak inquiry.

Speaking at his home, Mr Quick told a reporter his wife and children were forced to move out because of security concerns sparked by the public furore. The comments were an unusual response from a man who regularly meets members of the global intelligence community and whose role thrives on discretion.
SOURCE: ITN

11 Sept 2008

Wakati Waamerika na wapenda amani wengine duniani wanakumbuka mashambulizi ya kigaidi yaliyotokea siku kama leo mwaka 2001,kibosile wa polisi wa Devon&Cornwal hapa Uingereza,Colin Terry,ameadhimisha siku hiyo kiaina kwa kuvaa sanamu la Osama bin Laden.Kitendo hicho kimezua kimbembe na tayari wapo wanaotaka awajibishwe pengine kwa vile afande huyo pia ni mwandamizikatika eneo lake  kwenye mapambano dhidi ya ugaidi.Habari zaidi iko HAPA


Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.