3 Oct 2008

Mdahalo kati ya running mates wa vyama vya Democrat na Republican,Joe Biden na Sarah Palin,respectively,umemalizika hivi punde.Uchambuzi wa haraka haraka unaonyesha kuwa Palin amejitahidi kufanya vizuri kuliko ilivyotarajiwa.Matarajio kwamba Palin angefanya vibaya yalitokana na performances zake za hivi karibuni katika mahojiano (ya nadra) na wanahabari.Hofu zaidi ilikuwa ni kweli u-kilaza wake kwenye mambo mbalimbali.Kwa upande wa Biden,huku akitarajiwa kuutumia vizuri uzoefu wake wa muda mrefu kwenye ulingo wa siasa,hofu zaidi ilikuwa ni katika tabia yake ya "kusema ovyo" na kuwa gaffe-prone.Hata hivyo,uchambuzi wa awali unaonyesha kuwa Biden amefanya vizuri sana katika mdahalo huo,kiasi cha mchambuzi mmoja kudai kwamba it was his best ever performance.Kwa upande mwingine,Palin ameonekana kama amethibitisha kwamba McCain hakufanya kosa kumchagua yeye kuwa running mate wake lakini ameshindwa kum-portray McCain kama mtu anayefaa zaidi kuwa rais kuliko Barack Obama.Lakini Biden,pengine kwa kuhofia kuonekana kuwa ni sexist dhidi ya Palin,ametumia muda mwingi kuonyesha kwanini Obama anafaa zaidi kuwa rais kuliko McCain na wakati huohuo kuonyesha kuwa tiketi ya McCain-Palin ni mwendelezo mwingine wa miaka minane ya George W Bush.
Kiujumla,na kama ilivyotarajiwa na wengi,Biden ameonekana kuwa msindi katika mdahalo huo japo hilo haliwezi kukubalika among the Republicans.Pia matokeo ya awali ya kura kadhaa za maoni baada ya mjadala huo zinaonyesha ushindi mzuri kwa Biden hasa miongoni mwa undecided voters.
3.10.08
Evarist Chahali
RAIAMWEMA
No comments
Kama kawaida yake,gazeti la Raia Mwema katika toleo la wiki hii limesheheni habari na makala mbalimbali zilizoandikwa kwa umakini na uchambuzi wa hali ya juu.BONYEZA HAPA kusoma gazeti hilo.1 Oct 2008
1.10.08
Evarist Chahali
No comments
Grandfather, 71, told he's pregnant
A 71-year-old grandfather treated in a US hospital was informed that he was suffering abdominal pains because he was pregnant.
John Grady Pippen was given a bulletin, saying: "Based on your visit today, we know you are pregnant."
The staff at Curry General Hospital in Gold Beach, Oregon, gave the retired mechanic and logger the happy news this month, along with some pain pills. Hospital administrator William McMillan said an errant keystroke caused the hospital's computer to spit out the wrong discharge instructions for the grandfather.
SOURCE: MSN NEWS
30 Sept 2008



