30 Sept 2008

Je wajua kuwa licha ya kuwa gaidi nambari moja duniani,Osama bin Laden pia ni mshairi?Well,mie nilikuwa sifahamu kuhusu hilo hadi niliposoma habari kwamba kuna mjadala unaoendelea kuhusu la jarida la Language and Communication kama lichapishe mashairi ya gaidi huyo au la.Watetezi wa hoja ya kuchapisha mashairi ya Osama wanadai kuwa kwa kuyachapisha inaweza kusaidia kumjua kwa undani zaidi gaidi huyo,huku wapinzani wakidai kwamba kuchapisha mashairi hayo kutampatia forum nyingine zaidi ya kujitangaza.

0 comments:

Post a Comment

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.