Imewekwa na Evarist Chahali na
1 Maoni
Sasa unaweza kusoma tovuti hii katika mwonekano (sura) mbalimbali.Bonyeza maandishi 'yanayotembea' hapo juu yanayosomeka 'BONYEZA HAPA KUSOMA TOVUTI HII KATIKA MWONEKANO MBALIMBALI' kisha utahamishiwa katika ukurasa mwingine ambapo unaweza kuchagua kuisoma tovuti hii kama CLASSIC, FLIPCARD, MAGAZINE, MOSAIC, SIDEBAR, SNAPSHOT au TIMELINE.Bonyeza kimshale ← kwenye browser yako ili kurudi kwenye mwonekano wa kawaida wa tovuti hii.
1 comments:
Dah!! Ni kweli kuna wasanii na waimbaji. Kuna wanaoimba kwa kuwa wanataka kusisika na wanaosikika kwa kuwa wanaimba. Kuna haja ya TBS kuweka viwango vya muziki.
Pengine hii ndio hatua ya mwanzo kuelekea mafanikio, lakini mbona wana-get worse and worse everyday? Wanajipoteza katika harakati zao za kujitafuta. Wanakuwa kama mhogo uliopikwa ukagoma kuiva na unakuwa hauliki. Ama wabakie wabichi ama wakijipika waive, lakini kuwa katikati ya ubichi na kuiva hawajulikani wako vipi na HAWALIKI. Namaanisha hawasikilizi.
Ni mtazamo wangu tu
Post a Comment