23 Jun 2009

Inakera ati!hususan kwa simu vimeo zinazokula chaji kama hazina akili nzuri.Wajuzi wa simu wanadai kwamba baadhi ya simu "zina allergy na full charge",yaani chaji haidumu.

Taarifa zinaeleza kwamba maabara ya Kampuni ya Nokia hapo Cambridge wanatafiti ujio wa simu itakayokuwa ikijichaji yenyewe.Badala ya kutumia chaja za kawaida,simu hiyo itakuwa ikijichaji kwa kugema nishati kutoka kwa mawimbi ya radio (radio waves) yanayotoka kwenye antena,milingoti ya televisheni,Wi-Fi transmitters,nk.

CHANZO: The Guardian

0 comments:

Post a Comment

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.