Angalizo hili linawahusu wakazi wa Uingereza,kuwakumbusha kurekebisha muda katika saa zao itakapotimu saa nane alfajiri (kurejesha saa moja nyuma).
Sasa unaweza kusoma tovuti hii katika mwonekano (sura) mbalimbali.Bonyeza maandishi 'yanayotembea' hapo juu yanayosomeka 'BONYEZA HAPA KUSOMA TOVUTI HII KATIKA MWONEKANO MBALIMBALI' kisha utahamishiwa katika ukurasa mwingine ambapo unaweza kuchagua kuisoma tovuti hii kama CLASSIC, FLIPCARD, MAGAZINE, MOSAIC, SIDEBAR, SNAPSHOT au TIMELINE.Bonyeza kimshale ← kwenye browser yako ili kurudi kwenye mwonekano wa kawaida wa tovuti hii.
1 comments:
Kwanini wafanye hivyo ??
Chonde tujuze nasisi tusio jua...
Mdau
Post a Comment