15 Jun 2012

Mwaliko Kwenye Majdala wa Bajeti ya Serikali 2012/13

Mjadala Utafanyika Jumatatu ya Tarehe 18.06.2012 kuanzia saa 8.24 mchana hadi saa 11 jioni.Mahudhurio ni kwa mwaliko tu (by invitation only).

Kigoda cha Mwalimu Nyerere, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam-kwa kushirikiana na Taasisi ya Stadi za Maendeleo (Isntitute of Development Studies) ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na Idara ya Uchumi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam-kimeandaa mjadala wa wa sera (policy forum) tarehe 18.06.2012 kujadili bajeti ya serikali ya mwaka 2012/13.Lengo kuu ni kujadili kwa undani vipaumbele vya bajeti hiyo kwa kuzingatia mahitaji ya kijamii-uchumi (socio-economic needs) ya Tanzania.

Kwa maelezo zaidi,tuma barua pepe kwa [email protected]
------------------------------------------------------------------------------------------------------

Tangazo kwa hisani ya Mdau CHEDIEL CHARLES wa Blogu ya KIJIWENI RUNDUGAI

0 comments:

Post a Comment

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.