Showing posts with label LENGO. Show all posts
Showing posts with label LENGO. Show all posts

17 Apr 2006

Mimi ni Mtanzania ambaye niko masomoni hapa Scotland.Huwa ninatoa makala katika gazeti la KULIKONI ambalo hutoka kila wiki huko nyumbani Tanzania.Lengo la kuanzisha blogu hii ni kutoa fursa kwa Watanzania wenzangu hususan wale walio nje kuweza kusoma makala zangu ambazo kwa bahati mbaya hadi sasa bado haziko katika mtandao.Pia nadhani blogu hii itatoa fursa ya kuchambua,kujadili,kukosoa na kueleimishana kuhusu masuala balimbali yanayoihusu nchi yetu ya Tanzania.
Karibuni sana.

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.