6 Jun 2012


Katika Toleo hili la Nne la MAKALA ZA SAUTI ninazungumzia Umoja wetu kama Msingi wa Amani linganifu (relative) tuliyonayo huko nyumbani.Kilichonihamasiaha kuzungumzia hilo ni maadhimisho ya miaka 60 ya utawala wa Malkia Elizabeti wa Pili na jinsi unavyowaunganisha Waingereza.Pia nimegusia lugha yetu ya Taifa Kiswahili na tishio linaloikabili licha ya kuwa moja ya mambo muhimu yanayotuunganisha Watanzania. Basi nisikumalizie uhondo,niskize hapa chini...na karibu sana kunitumia maoni.

0 comments:

Post a Comment

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.