9 Jul 2013


Nimeshalaumiwa mara kadhaa kuwa nina chuki binafsi na Rais Jakaya Kikwete kutokana na maandiko yangu yanayomkosoa mara kwa mara. Hata hivyo, ukweli ni kwamba sio tu kuwa namheshimu Kikwete kama Rais wangu lakini pia nina mapendo ya dhati kwa nchi yangu ya asili, yaani Tanzania. 

Ni kwa sababu hiyo ndio maana nimeshtushwa sana na kauli za kibabe- au za KIHUNI, kwa lugha mwafaka-za Rais wa Rwanda, Paul Kagame, dhidi ya  Rais wetu Kikwete na nchi yetu kwa ujumla. So far, Rais Kikwete ameepuka malumbano na Kagame, lakini inaelekea Mnyarwanda huyo anadhani ukimya wa Kikwete ni uoga kwake, au labda anatafsiri kuwa anadharauliwa.

Ni jukumu la kila Mtanzania kusimama kidete na Rais wetu katika suala hili kwani sio tu ni dhihaka dhidi yake bali taifa letu kwa ujumla. Tuweke kando tofauti zetu na tuwe kitu kimoja.Ifike mahala tumwambie Kagame na Rwanda kuwa IMETOSHA, ENOUGH IS ENOUGH. 

Soma habari husika hapa chini:

I will Just Wait For You At the Right Place And I will Hit You, Rwandan General Paul Kagame Threatens Tanzanian Jakaya Kikwete

by AFROAMERICA NETWORK on JULY 3, 2013


President Jakaya Kikwete and  General Paul Kagame: Good  old days
President Jakaya Kikwete and General Paul Kagame: Good old days
“Those people [Tanzanian President Jakaya Kikwete] you just heard siding with Interahamwe and FDLR  and urging negotiations… negotiations?  Me, I do not even discuss this topic, because I will just wait for you [Tanzanian President Jakaya Kikwete] at the right place and I will hit you! He[Tanzanian President Jakaya Kikwete]  did not deserve my answer. I did not waste my time answering him…It is well known. There is a line you cannot cross, there is a line, a line that you should never cross. It is impossible…”
It is in these ominous terms that the Rwandan dictator General Paul Kagame threatened to get even with Tanzanian President Jakaya Kikwete, while addressing Rwandan Youth on June 30, 2013 during a summit called “Youth Konnect”“, sponsored by his wife, Janet Kagame.

Relations between Tanzanian President Jakaya Kikwete and Rwandan leaders have soured in the last weeks. On several occasions Rwandan leaders called the Tanzanian President “a genocide and terrorist sympathizer”, “ignorant”, “arrogant”, and “mediocre leader”. The relations have deteriorated following the recommendation by President Jakaya Kikwete of open negotiations between Rwandan, Ugandan and Congolese leaders and their respective armed opposition in order to bring durable peace and security  in the African Great Lakes region.
Then, General Paul Kagame, while addressing a closed door meeting with his close aides, called the Tanzanian President “4Bs”, which in Rwandan language means “an opportunist, attention seeker, arrogant and contemptible person.”
The latest public threats by  General Paul Kagame against the physical person of the Tanzanian President are arguably the most serious sign of how worse the relations among the two countries and the their leaders have become. According to sources in Kigali, General Kagame has also been frustrated by the attention Tanzanian President has been receiving from World powers. Until a few years ago, Rwanda and its dictator was the darling of the West. The attention from the West has since dwindled.
The upcoming days and months promise to be full of anticipation and sursprises in the Great Lakes Region of Africa.

1 comment:

  1. Mimi nadhani tuwe Kimya tu, kwani huyu mjinga atakuwa anatutafuta jambo

    ReplyDelete

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.