Waziri Mkuu Mizengo Pinda akikodolea macho ambulance ya bajaji.Labda macho yangu tu lakini naona kama Pinda hana hakika kama tupo karne ya 21 au tunarejea Zama za Mawe!
Na mwenye dhamana ya afya ya Watanzania kwa sasa ni Babu wa Loliondo.
HII NDIO TANZANIA ZAIDI YA UNAVYOIJUA