7 Jul 2008

Binti aitwaye MAGDALENA THOMAS KATIMAKAMU (alias NJEA) anawatafuta Baba yake THOMAS KATIMAKAMU na Mama yake SELINA NDIMINI,ambao inasemekana wanaishi NAIROBI,nchini KENYA.Magdalena,ambaye kwa sasa anaishi Ifakara, alipoteana na wazazi wake mwaka 1989 walipokuja Tanzania mara ya mwisho.Yeyote anayewfahamu wazazi hao anaombwa kufikisha salamu hizo.Kwa mawasiliano zaidi,waweza kutuma barua-pepe kwa [email protected] au sms/simu kwa +255773957709/+255783957709 au +447814843356.Asanteni

0 comments:

Post a Comment

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.