27 Jan 2009

Kujichua,punyeto,puli,nk.Majina ni mengi kuhusu tendo hili ambalo inaaminika kuwa "faraja binafsi miongoni mwa wapweke wengi" japo huzungumziwa hadharani kwa nadra mno.Sasa wanasayansi wanadai kwamba kujichua (masturbation) kunaweza kuwa kinga dhidi ya kansa ya kibofu (prostate cancer) kwa walio na umri wa miaka 50 na zaidi.Jenga picha...unamkuta mzee wa miaka hamsini na kadhaa "anapata kinga na sabuni yake mkononi..."Au inagundulika kwamba kisa cha kila Revola inayoachwa bafuni kupotea kimiujiza ni baba mwenye nyumba "kuitumia kama kinga ya kansa"....Enewei,BONYEZA HAPA kusoma habari kamili.


Lakini wakati nyeto inaelekea kuwa habari njema kwa wazee,wanasayansi wanadai kwamba "ngono binafsi" kwa vijana wenye kati ya miaka 20-30 inaweza kupelekea kansa hiyohiyo ya kibofu.

0 comments:

Post a Comment

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.