5 Jun 2009






Upepo mbaya wa kisiasa umeendelea kuvuma katika serikali ya Waziri Mkuu Gordon Brown kufuatia Waziri wa Kazi na Pensheni,James Purnell (kulia katika picha ya kwanza juu),kutangaza kujiuzulu na kumtaka Brown "aachie ngazi".Kujiuzulu kwa waziri huyo kunafanya diadi ya mawaziri waliokwishatangaza kujiuzulu kufikia watatu baada ya Waziri wa "Mambo ya Ndani" (Home Office Secretary) Jacqui Smith (chini) na Waziri wa Jamii (Communities Secretary) Hazel Blears (picha ya mwisho chini) kutangaza hatua kama hiyo.



0 comments:

Post a Comment

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.