4 Jun 2009



WELL,NI LAZIMA IWE HIVYO KWA JINSI MAREKANI ILIVYO UNPOPULAR HUKO MASHARIKI YA KATI.LAKINI MBALI YA ISHU HIYO YA OPERESHENI YA AINA YAKE KIUSALAMA,TUKIO LA OBAMA "KUMSUJUDIA" MFALME ABDULLAH WA SAUDI ARABIA LIMEIBUA KELELE KALI,HUKU BAADHI YA WALALAMIKAJI HAO WAKIDAI OBAMA ANATAKA KUIFANYA USA IWE TAIFA LA KIISLAM.


O'Reilly: Obama bows down to the king of Saudi Arabia
by Fox_News

0 comments:

Post a Comment

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.