26 Nov 2010


Kwa mara nyingine,shule ya Sekondari ya Wavulana ya Tabora (Tabora Boys')imezalisha kiongozi mwingine baada ya Mheshimiwa Mahadhi Juma Mahadhi (pichani kulia anayehojiwa) kuteuliwa kuwa Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Nje na Uhusiano wa Kimataifa.Mahadhi pia alishinda ubunge wa jimbo la Muyuni kwa tiketi ya CCM huko Zanzibar.

Ushindi wako wa kiti cha ubunge na kuteuliwa kuwa Naibu Waziri ni sifa kubwa kwako na kwa Tabora Boys kwa ujumla,a inadumisha rekodi ya shule hiyo kama kitalu cha kuzalisha viongozi wa baadaye wa taifa.

Hongera sana,Mheshimiwa Naibu Waziri.

0 comments:

Post a Comment

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.