2 May 2011



Breaking news kwenye vyombo mbalimbali vya habari vya kimataifa ni kuhusu kuuawa kwa gaidi wa kimataifa Osama Bin Laden.Rais Barack Obama ametangaza taarifa hizo ambazo zitakuwa ahueni kubwa kwa Wamarekani baada ya kumwinda Osama kwa muongo mzima tangu mashambulizi ya September 11,2001 ambayo inaaminika yalipangwa na Osama.

Taarifa zaidi baadaye

0 comments:

Post a Comment

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.