24 Jul 2011


Nimepokea kwa masikitiko kifo cha Mhadhiri wangu wa zamani Profesa Samuel Mushi.Nilikuwa mwanafunzi wa Profesa Mushi tangu nilipojiunga na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Septemba 1996 hadi nilipomaliza mwaka wa kwanza July 1997.Profesa Mushi alinifundisha Utangulizi kwa Stadi ya Sayansi ya Siasa (PS100: Introduction to the Study of Political Science).Marehemu ni miongoni mwa wanataaluma wa mwanzo walionipa uelewa na mwamko wa stadi za siasa,japokuwa mwaka wa pili na wa tatu nilichukua mchepuo wa Sosholojia.

Bwana Ametoa Bwana Ametwaa.
Jina la Bwana Lihimidiwe Milele,
Amen 

0 comments:

Post a Comment

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.