22 Jul 2011


Usanii wa Wachina katika kufoji umekwenda hatua ya juu zaidi baada ya bloga mmoja kugundua maduka makubwa (malls) matatu ya bidhaa za kampuni ya Apple (inayotengeneza iPhone,iPads,nk).Kichekesho ni kwamba maduka hayo ni feki kwa vile hayana kibali cha kampuni ya Apple.Lakini to make matter even worse,biahdaa zote za Apple zinazouzwa kwenye maduka hayo nazo ni feki pia.Kama hiyo haitoshi,hata wafanyakazi wa maduka hayo nao "waliingizwa mjini" kwani siku zote walikuwa wanaamini kuwa wao ni waajiriwa wa Apple ya Marekani.

Halafu hawa ndio watu tunaowaamini kama mapatna wetu wa maendeleo katika jitihada zetu za kujiweka mbali na "Wazungu"!! Angalia picha hizi na video






0 comments:

Post a Comment

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.