23 Oct 2011

Kwa mnaojifanya kusahau: pichani juu ni Nduli Idi Amin akimtambuliha swahiba wake Gaddafi ka makamanda wa jeshi la Uganda,Machi mwaka 1974.Gaddafi alikuwa nchini humo kumkabidhi Amin ndege za kivita ambazo miaka minne baadaye zilitumika kwenye uvamizi wa Amin nchini mwetu (akisaidiwa zaidi na Gaddafi).Halafu Gaddafi huyuhuyu anastahili kufanyiwa maombolezo!!!!????

Ukiishi kwa upanga utakufa kwa upanga,na picha na video zifuatazo zinaonyesha dakika za mwisho za dikteta huyo  kabla ya kupelekwa mbele ya haki














0 comments:

Post a Comment

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.