
Mario Balotelli akifungua ukurasa wa mabao

Mpende au mchukie lakini Mtaliano huyu mweusi ni moto wa kuotea mbali

Kama kawaida yake,Balotelli haishiwi vituko.Hapa akionyesha maandishi "Kwanini Mimi?"

Balotelli akitundika bao la pili

Aguero akiandika bao la tatu

Dzeko akifunga bao la nne

Silva akitundika bao la tano

Dzeko akifunga bao la sita

Mashabiki wa Manchester City wakishangilia kipigo ha haja kwa majirani zao wa Manchester United

Kocha wa Manchester United Sir Alex Ferguson akiwa hoi

CHANZO: DailyMail
0 comments:
Post a Comment