| Angalia kitambi kilivyoshamiri.Huyu ni Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama | 
| VITAMBI OYEE: Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama | 
| HOI KWA USINGIZI: Mheshimiwa John Komba akitafakari matatizo ya wapigakura wake jimboni Mbinga | 
| Kwanini Kapteni Komba aache kuimba kuisifia CCM iliyomwezesha kuwa na kitambi kikubwa namna hiyo? | 
| KITAMBI: Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es Salaam Didas Masaburi | 
| Mtu mzima hovyoo!!! | 
![]()  | 
| MHESHIMIWA SAMUEL SITTA: Kamanda wa jeshi la kupambana na mafisadi azidiwa nguvu na usingizi | 
![]()  | 
| Mzee wa Kiraracha AGUSTINE MREMA akibuni mbinu za kuipeleka TLP Ikulu | 
| Mbunge anaota posho usingizini | 
![]()  | 
| Usalama wa nchi nao ukiwa usingizini. | 
![]()  | 
| Waziri Ngeleja akiwajibika kwa kuuchapa usingizi bila kumhofia bosi wake hpo pembeni | 
![]()  | 
| Maji hufuata mkondo | 
| Watoto wanaketi chini hakuna madawati msitu wa Songea na Mafinga Sao Hill akina Lukuvi wamejipigia ufisadi ambapo serikali ingetengeneza masawati ya kutosha nchi nzima, | 
| Watoto wakitoka 'darasani' huku wamenyong'onyea | 
| Shule ya msingi ambamo wanasoma watoto wa wapiga kura | 
| Hata kwenye shule za sekondari nako hali mbaya | 
| Hii ni zahanati mpiga kura ndo analalia kitanda hicho wao Muhimbili wanaenda kupumnzika kisha hao India | 
| Hii ndo maabara ambapo mpiga kura anakuja kupimwa maradhi yake | 
| Wapiga kura wanalala mzungu wa nne kitanda kikiwa full mpiga kura inamlazim adondoshe gari sakafuni anamwachia matumaini Mungu | 
| Wapiga kura hawa wasio thaminiwa wakiwa wamerundikana kama wanyama wanapatiwa matibabu | 
| maji anayo tumia mpiga kura kwa kunywa na kupikia na kufulia | 
Mpiga kura wa hao jamaa walio vimbiana matumbo akikata kiu kwa maji kumbuka hayo maji kayafuata kwa kutembea zaidi kilomita 20. SHUKRANI KWA NANA KANZAGA WA COVENTRY (UK) KWA PICHA  | 

.jpg)



0 comments:
Post a Comment