14 May 2012

Let's party! Manchester City's jubilant players lift the Premier League trophy after the late drama
Baada ya miaka 44,Manchester City ni mabingwa wapya wa Ligi Kuu ya England

Ice cool: Aguero blasts home to seal the 3-2 victory that made City champions after a 44-year wait
GOOOOOAL: Bao la tatu na la ubingwa kutoka kwa Muajentina Sergio Aguero

Incredible: Goal hero Sergio Aguero celebrates winning the title at the final whistle
Kama ndoto vile,wakati kila mshabiki akidhani Man City wamepoteza nafasi ya kutwaa ubingwa,Aguero akapachika bao la tatu

Striking at the death: Aguero wheels away after his magical late goal sealed the title for City
Aguero,ambaye ni mkwe wa gwiji la soka duniani Diego Maradona,akiwa amevua jezi kushangilia bao lililopatikana muda wa nyongeza na lililoipa ubingwa Man City baada ya kusubiri miaka 44


Amazing: Aguero is mobbed as the City fans struggle to believe what they are seeing
Mario Balotelli na Edin Dzeko wakimkimbilia Aguero kumpongeza kwa kufunga bao la tatu

Can you believe it? City players go wild after Sergio Aguero's last-gasp heroics against QPR
Wachezaji wa Man City wakimzonga Aguero baada ya kufunga bao la tatu lililowapa ubingwa

Roberto Mancini celebrates with the trophy
Kocha Mtaliano Roberto Mancini akiwa na kombe la ubingwa wa Ligi Kuu ya England

Vincent Kompany the captain of Manchester City poses with the trophy
Nahodha Vincent Kompany akiwa na kombe

Beautiful moment: Mancini and Carlos Tevez hold the trophy after putting their troubles behind them
Uhasama kando: Mancini na Carlos Tevez wakiteta huku wameshikilia kombe

Star showing: Liam Gallagher (top middle) celebrates with the City fans at the end of the match
Shabiki mkubwa wa Man City,mwanamuziki mkongwe Liam Ghallagher (ex-Osias) akisherehekea

Never forget: City fans party on the pitch after their epic comeback against QPR
Furaha isiyoelezeka

Our moment: City supporters pour on to the pitch at the final whistle at the Etihad Stadium
Shangwe kubwa

Now we rule the city: Manchester City fans celebrate with a banner aimed at their rivals
Furaha tupu

Top of the tree: City's players throw their arms in the air after securing their long-awaited title
Furaha kubwa ya kutwaa ubingwa baada ya kusubiri kwa miaka 44

Smiles better: Mario Balotelli (centre) shares a joke with manager Roberto Mancini as they wear Italian flags
Kocha wa Man City Roberto Mancini akifurahi na wachezaji wake

Show us your medal: Joe Hart holds team-mate David Silva as they enjoy their moment
Kipa wa Man City Joe Hart akiwa amembeba mchezaji mwenzie David Silva

Shocked: Sir Alex Ferguson looks visibly stunned by the late news coming in from City
Kocha wa Man United Sir Alex Ferguson akiwa haamini macho na masikio yake kuwa timu yake imepoteza ubingwa kwa wapinzani wao wa Manchester City

Nightmare: United's players are helpless as they absorb the news coming in from the Etihad Stadium
Wachezaji waManchester United wakipokea habari za ushindi wa Manchester City kwa bumbuwazi
Chanzo: Daily Mail


0 comments:

Post a Comment

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.