7 Sept 2012



UCHAGUZI WA JUMUIYA ZA CCM
 
Moshi (v) chaguzi zilianza rasmi tarehe 3/09 /2012 - 4/09/2012
1.    Uvccm ulfanyika terehe 29/08/2012 mwenyekiti wake aliechaguliw ani Gulaton Masiga.
2.    Wazazi tarehe 03/09/2012 mwenyekiti wake ni  sterwat lyatuu.
3.    UWT tarehe 04/09/2012  mwenyekiti wake ni  Grace Mzava
Aidha viongozi na wajumbe mbali mbali walichaguliwa na kupatikana chini ya  uongozi wa chama wilaya ya moshi (V)  Innocent Nzaba ambaye ni katibu wa  ccm wilaya na mlezi wa jumuiya Gabriel Massenga ambaye ni mwenyekiti wa ccm wilaya.
Pia katika uchaguzi huo mtangazaji mahiri wa kituo cha Radio na TV Clouds Media Group cha jijini Dar es saalam Bi Sophia Kessy nae alijitosa katika uchaguzi huo kuwanaia nafasi ya uwakilishi wa UWT kwenda vijana  wilaya na kuibuka mshindi kwa kura 415 dhidi ya kura zilizopigwa 416 ambapo kura 1tu iliharibika .
Bi Sophia Kessy amesema kuwa kwa sasa ni hatua ndogo kati ya zile kubwa ambazo amepanga kujitosa na kuwania ambapo matarajio yake ya baadae ni kuwa  kiogozi wa ngazi ya juu zaidi .






BLOGU HII INATOA HONGERA NYINGI KWA SOPHIA..

0 comments:

Post a Comment

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.