27 Jan 2013












Na wakati hayo yanatokea, Rais wetu mpendwa alikuwa Makao Makuu ya Shirika La Soka Duniani (FIFA) huko Uswisi na alipata fursa ya kupiga picha na Kombe la Dunia. Ikumbukwe pia kuwa Uswisi ndipo kulikohifadhiwa mabilioni yetu yaliyoporwa na mafisadi.


0 comments:

Post a Comment

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.