Showing posts with label £OVELY GAMBLE. Show all posts
Showing posts with label £OVELY GAMBLE. Show all posts

1 Jun 2010

Crew ya £OVELY GAMBLE
BARAKA BARAKA, Managing Director wa Urban Pulse,akitoa hotuba
 BARAKA, DAISY,TIM, RENNY na FRANK
FRANK EYEMBE na BARAKA BARAKA
MC wa Show,Miss TINA GEORGE wa AILTV
MECKY,RAHMA CLASSIC,TINA,BARAKA,HALIMA,FRANCIA na FRANK
Msanii ANN-LYNN,AMOS MASANJILA na TINA
Producer wa £ovely Gamble,FRANK EYEMBE,akitoa hotuba
Urban Pulse CEO akiwa na MECKY
£OVELY GAMBLE

31 May 2010


Tawala,viongozi na wafanyakazi wa African Star,Afro Euro Events Management, Buzzie Production, Manamba Studio na Urban Pulse. Wanatoa shukurani zao za dhati kwa Watanzania wote waliojitokeza usiku wa jana 29/05/2010 kwenye onyesho maalum la ‘£OVELY GAMBLE’ kuchangia watoto wanaoishi na vijirusi vya UKIMWI nyumbani Tanzania. Watoto hawa wanaangaliwa na TANZANIA MITINDO HOUSE. Hakika ya kweli mmeoonyesha umoja ambao tunauthamini na hatutousahau.

Vilevile tungependa kuwatambua watu wafuatao, ambao kwa njia moja ama ingine    wmesaidia sana kufanikisha Onyesho hili maalum

UBALOZI WA TANZANIA  (mama Balozi na Maafisa wote wa Ubalozi)
TANZANIA ASSOCIATIONS zote Kitaifa na matawi  ya Reading, Birmingham na Soctland
BONGO FLAVOUR (Dixon na Flora)
TMH (Khadija Mwanamboka)
SWIFT FREIGHT (Abu Faraji)
SWAHILI TRAVEL AGENCY (Tino)
VINCENT BAR (Kalinga na Gado)
MAMA MAYOR (Mariam Nice)
NOCHA SEBE
MISS YVONNE
WITENGERE KITOJO 
TEGEME CHAMPANDA
FRANCIA CHENGULA
FREDDY MACHA
AYOUB MZEE
RASHIDI KAWAWA
ALLY MUHIDINI
GLOBAL PUBLISHER (Abdalah Mrisho)
BONGOSTARLINK (Dj Choka)
JIACHIE (Ahmad Michuzi)
KULIKONI UGHAIBUNI ( Evarist Chahali)
MISS JESTINA GEORGE (Tina George)
FASHION 8020 (Shamim Mwasha)
NURU THE LIGHT (Nuru)

Vyombo hivi na Watanzania hawa wamekuwa mstari wa mbele katika kufanikisha Onyesho hili maaaluma la mchango wa kihiyari. Mungu awaongezee na tuendeleze umoja  huu.


            MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU WABARIKI WATANZANIA

29 May 2010


ONYESHO MAALUM LA FILAMU £OVELY GAMBLE 
TAREHE 29TH OF MAY 2010. 
 KARIBUNI KUCHANGIA YATIMA WALIOATHIRIKA NA UKIMWI TANZANIA NA JUMUIA YETU YA TANZANIA

VILEVILE KUTAKUWA NA CHAKULA, VINYWAJI, BURUDANI YA MIZIKI NA VICHEKESHO.
NYOTE MNAKARIBISHWA NA KUFIKA KWENU NDIO KUFANIKISHA SHUGHULI HII. TUNAWAOMBA MJE KUSAIDIA WATOTO HAWA NA JUMUIYA YETUWETU.

DRESS CODE: LADIES: DRESS GLAMOROUS AND ELEGANT  GENTS: SMART

MUSIC: LIVE MUSIC, AFRO BEAT, BONGO FLAVOR, HIP HOP, MDUARA AND RNB

WYCLIFFE VENUE 233 KINGS ROAD READING RG1 4LS. 6.30pm-11.30pm

TCKT IN ADVCE £10 FOR VIP’s SEATS AND £5 FOR STANDARD SEATS. (*VIP TCK HOLDERS GETS FREE AFTER PARTY PASS*)

TCKT ZA PAUNDI 5 ZINAMALIZIKA WAHI MAPEMA

‘£OVELY GAMBLE DVD AND SOUNDTRACK OUT NOW’

DVD MAALUM “DIRECTORS CUT” WITH BONUS MATERIAL
*FILMMAKERS
*HATAKAMA
*SEXY MAMA

WOTE MNAKARIBISHWA
---------------------------------------------------------------
BARAKA BARAKA

27 May 2010


Baraka Baraka ndio mhariri (Editor) wa £ovely Gamble. Huyu Bwana ni Photograher, Director na Producer. Amesha fanya kazi kwenye uzalishaji wa vipindi vingi ambavyo vimeshaonyeshwa katikaTelavisheni tofauti Uingereza na Ulaya kama vile OBE TV, MATV na TVT (ZE COMEDY London Special). Baraka pia ni mkali wa na advertising shot films kama vile ‘KARMA’ na ‘The ONE’ vilevile amesha Direct documentary programmes za kisiasa kama ‘A PATH TO WAR’ na za kijamii kama IN A ‘FOREIGN LAND’

Kwenye upande wa Photography amebobea kwenye fani ya fashion and advertsing. Kijana huyu ana freelance na kampuni tofauti za media na advertising agencies ikiwa ni pamoja na prestigious PUBLIC LTD. Baraka ameshawahi kufanya maonyesho (Exihbition) ya kazi zake za Photohgraphy mara tatu sasa. Hivi sasa anajitayarisha kushoot shot film iitwayo ‘JIKO LA SAIDI’ . Pia anakuwa moja ya wamiliki wa URBAN PULSE CREATIVE ya hapa UK.

Mahojiano haya (hapo juu) yamefanywa na Watayarishaji wa kipindi cha ALL ABOUT WOMEN ambacho presenter wake naye ni Dada wa kibongo aitwaye Tina George, Kipindi hiko hurushwa kwenye vituo vya television vya AILTV na Ben TV huku UK. Onyesho maalum la Filamu ya £ovely Gambl kuchangia watoto yatima wanaoishi na virusi vya UKIMWI Litafanyika

JUMAMOSI TAREHE 29/05/2010.
SAA 12 Jioni MPAKA SAA 5 NA NUSU
WYCLIFF
233 KINGSROAD,
READING, RG1 4LS


TANGAZO MAALUM
KWA WAKAZI WA WA UGHAIBUNI
KUTOKA URBAN PULSE NA BUZZIE  PRODUCTION
Mashabiki na Wapenzi wa filamu wa Kitanzania tunapenda kuwataarifu kuwa tumepokea malalamiko yenu kuhusu ubora DVD za filamu ya £ovely Gamble.  Kwamba zina  giza na sauti  si bora  na picha zinacheza. Hili tumelichunguza na kugundua ya kuwa  linasababishwa na DVD HARAMIA (PIRATE COPIES) zinazouzwa kinyume ya sheria.

Tunaelewa tatizo hili ni sugu dunia nzima na  linawanyima thamani ya utamu wa filamu.  Vilevile lina changia kudumisha kiwanda cha uzallishaji wa filamu. Kuepukana na adha hii ,Wazalishaji wa £ovely Gamble wanawaomba na kuwashauri kununua  filamu hii kutoka kwa DVD za halali zitakazopatikana kuanzia Jumamosi ya tarehe  29-10-2010 kwenye  uzinduzi maaluma wa kuchangia yatima wanao ishi na vijirusi wa UKIMWI  nyumbani TANZANIA  na kwa wakala maalumu  watakao tangazwa rasmi   siku hiyo

DVD MAALUM “DIRECTOR'S CUT”  WITH BONUS MATERIAL
*FILMMAKERS
*HATAKAMA
*SEXY MAMA

                    WYCLIFFE VENUE                                                                                                           
233 KINGS ROAD                                                                                              
        READING RG1 4LS.                                                                                                       
 6.30pm-11.30pm
TCKT IN ADVCE £10 FOR VIP’s SEATS AND £5 FOR STANDARD SEATS. (*VIP TCK HOLDERS GETS FREE AFTER PARTY PASS*)
WOTE MNAKARIBISHWA


26 May 2010


Rennison Okenwa ndio kichwa kilicho Direct movie £ovely Gamble. Rennison-au maarufu kama 'Renny'- ni ndugu yetu kutoka Kenya. Huyu jamaa ndio aliyekuja na wazo la kue-xperiment namna ya kutumia picha na muziki kuelezea hadithi. Renny ni msomi wa uzalishaji wa vipindi vya television aliyehitimu katika chuo kikuu cha Thames Valley. Renny ameshatengeneza documentary programmes mbili kuhusu vifaa vya hospitali na kuhusu matatizo ya magonjwa ya akili. Kwa sasa ana shoot documentary kuhusu wazazi watoto 'Young Mums'

Mahojiano haya yamefanywa na Watayarishaji wa kipindi cha ALL ABOUT WOMEN ambacho presenter wake naye ni Dada wa kibongo aitwaye Tina George, Kipindi hiko hurushwa kwenye vituo vya television vya AILTV na Ben TV huku UK.

Onyesho maalum la Filamu ya £ovely Gamble kuchangia watoto yatima wanaoishi na virusi vya UKIMWI Litafanyika

JUMAMOSI TAREHE 29/05/2010.
SAA 12 Jioni MPAKA SAA 5 NA NUSU Usiku.
WYCLIFFE VENUE,
233 KINGS ROAD,
READING, RG1 4LS

WATANZANIA WOTE WA UK MNAKARIBISHWA
-------------------------------------------------------------------------------------------------------
BARAKA BARAKA

25 May 2010


Kijana ambaye yuko kwenye £ovely Gamble anaitwa Kisiri Elly anacheza part ya Frank. Huyu actor chipukizi wa Kitanzania ambaye ameingia katika fani ya usanii wa filamu. Kisiri amecheza filamu hii na staa za kitaaluma unaweza kufikiri ni mzoefu wa siku nyingi. Hivi tuzungumziavyo kesha tafutwa na Nollywood na ataanza production ya 'Man Alone' itakayotengenezewa Lagos na London shooting itaanza August mpaka September. Tumfagilie mbongo huyu ambaye anaanza career hii kwa kasi.

Mahojiano haya yamefanywa na Watayarishaji wa kipindi cha ALL ABOUT WOMEN ambacho presenter wake naye ni Dada wa kibongo aitwaye Tina George, Kipindi hiko hurushwa kwenye vituo vya television vya AILTV na Ben TV huku UK.

Onyesho maalum la Filamu ya £ovely Gamble kuchangia watoto yatima wanaoishi na virusi vya UKIMWI Litafanyika

JUMAMOSI TAREHE 29/05/2010.
SAA 12 Jioni MPAKA SAA 5 NA NUSU Usiku.
WYCLIFFE VENUE,
233 KINGS ROAD,
READING, RG1 4LS

WATANZANIA WOTE WA UK MNAKARIBISHWA
-------------------------------------------------------------------
BARAKA BARAKA

24 May 2010


Binti mdogo na mrembo ambaye yuko kwenye £ovely Gamble  anaitwa Ann-Lyyn Kapinga anacheza part ya Jasmeen. Huyu binti ni actress wa ukweli kwa sababu anasomea  fani hii na huwa ana perform kwenye theatres tofauti za South of England.

Mahojiano haya yamefanywa na Watayarishaji wa kipindi cha ALL ABOUT WOMEN ambacho presenter wake naye ni Dada wa  kibongo aitwaye Tina George, Kipindi hiko hurushwa kwenye  vituo vya television vya AILTV na Ben TV huku UK. 

Onyesho maalum la  Filamu ya £ovely Gambl kuchangia watoto yatima wanaoishi na virusi vya UKIMWI Litafanyika

                                                                   JUMAMOSI TAREHE 29/05/2010.
                                              SAA 12 Jioni MPAKA SAA 5.30 Usiku. 
                                                       WYCLIFFE VENUE,  
                                                        233 KINGS ROAD, 
                                                      READING, RG1 4LS

WATANZANIA WOTE WA UK MNAKARIBISHWA
------------------------------------------------------------------------
BARAKA BARAKA

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.