Showing posts with label SUNDARAJEV. Show all posts
Showing posts with label SUNDARAJEV. Show all posts

12 Sept 2008

Ama kweli wenzetu wako serious na siasa zao.Kama kutokea kwenye kipindi cha televisheni cha mapishi kumemng'oa madarakani aliyekuwa Waziri Mkuu wa Thailand,Samak Sundarajev,sijui ingekuwa ishu kama ya Richmond huyu mwanasiasa angeepuka kitanzi.In a bigger picture,effectiveness ya Mahakama za Katiba ingeweza kuwa nyenzo muhimu sana kwa uwajibikaji wa viongozi wetu na maamuzi/matendo yao.Habari kamili kuhusu mkasa huu BONYEZA HAPA

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.