Showing posts with label ULAGHAI WA KISIASA. Show all posts
Showing posts with label ULAGHAI WA KISIASA. Show all posts

4 Jun 2009

Nimekumbana na picha hii katika tovuti ya IPPMEDIA.Tujiulize:Taifa la kesho (kama wanavyopenda kusema wanasiasa) linaloandaliwa katika mazingira ya aina hii litatengeneza Watanzania wa aina gani?Yayumkinika kusema CHUKI,HASIRA,LAWAMA,na vitu kama hivyo ndio vinavyotawala vichwani mwa madogo hawa na vitaendelea kutawala.Je haya ndio maisha bora waliyotuahidi CCM 2005?


Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.