13 Feb 2013

Peter Turkson (Ghana, 64) is the top African candidate. Head of the Vatican justice and peace bureau, he is spokesman for the Church's social conscience and backs world financial reform. He showed a video criticizing Muslims at a recent Vatican synod, raising doubts about how he sees Islam.

Kadrinali Peter Turkson ambaye ni Mghana anatajwa kuwa miongoni mwa wanaoweza kumrithi Papa Benedikti wa 16 ambaye atajiuzulu mwisho wa mwezi huu. Iwapo Turkson atafanikiwa kuwa Papa, atakuwa mtu mweusi wa kwanza kushika nafasi hiyo ya ukuu wa Kanisa Katoliki.Moja ya mambo yanayozungumzwa kuhusu Kardinali huyo ni mtizamo wake kuhusu kukua kwa Uislamu duniani.Licha ya kuongea lugha yake ya asili ya Fante na lugha nyingine za asili za Ghana, Kadrinali Turkson anaongea pia Kiingereza, Kifaransa,Kitaliano,Kijerumani na Kiyahudi.Pia anafahamu Kigiriki na Kilatini.

'Papabili' (Mapapa watarajiwa) wengine ni kama ifuatavyo

Luis Tagle (Philippines, 55) has a charisma often compared to that of the late Pope John Paul. He is also close to Pope Benedict after working with him at the International Theological Commission. While he has many fans, he only became a cardinal in 2012 and conclaves are wary of young candidates.
Kardinali Luis Tagle wa Ufilipino

Angelo Scola (Italy, 71) is archbishop of Milan, a springboard to the papacy, and is many Italians' bet to win. An expert on bioethics, he also knows Islam as head of a foundation to promote Muslim-Christian understanding. His dense oratory could put off cardinals seeking a charismatic communicator.
Kardinali Angelo Scola wa Italia

Christoph Schoenborn (Austria, 67) is a former student of Pope Benedict with a pastoral touch the pontiff lacks. The Vienna archbishop has ranked as papal material since editing the Church catechism in the 1990s. But some cautious reform stands and strong dissent by some Austrian priests could hurt him.
Kardinali Christoph Schoenborn wa Austria

Odilo Pedro Scherer (Brazilia, 63) ranks as Latin America's strongest candidate. Archbishop of Sao Paolo, largest diocese in the largest Catholic country, he is conservative in his country but would rank as a moderate elsewhere. The rapid growth of Protestant churches in Brazil could count against him.
Kardinali Odilo Pedro Scherer wa Brazili

Leonardo Sandri (Argentina, 69) is a "transatlantic" figure born in Buenos Aires to Italian parents. He held the third-highest Vatican post as its chief of staff in 2000-2007. But he has no pastoral experience and his job overseeing eastern churches is not a power position in Rome.
Kardinali Leonardo Sandri wa Ajentina

Gianfranco Ravasi (Italy, 70) has been Vatican culture minister since 2007 and represents the Church to the worlds of art, science, culture and even to atheists. This profile could hurt him if cardinals decide they need an experienced pastor rather than another professor as pope.
Kardinali Ginafranco Ravasi wa Italia

Marc Ouellet (Canada, 68) is effectively the Vatican's top staff director as head of the Congregation for Bishops. He once said becoming pope "would be a nightmare." Though well connected within the Curia, the widespread secularism of his native Quebec could work against him.
Kardinali Marc Ouellet wa Kanada

Timothy Dolan, (USA, 62) became the voice of U.S. Catholicism after being named archbishop of New York in 2009. His humor and dynamism have impressed the Vatican, where both are often missing. But cardinals are wary of a "superpower pope" and his back-slapping style may be too American for some.
Kardinali Timothy Dolan wa Marekani

Joao Braz de Aviz (Brazil, 65) brought fresh air to the Vatican department for religious congregations when he took over in 2011. He supports the preference for the poor in Latin America's liberation theology, but not the excesses of its advocates. Possible drawbacks include his low profile.
Kardinali Joao Braz de Aviz wa Brazil

Kardinali Peter Erdo wa Hungary

Mwafrika mwingine anayetajwa kuwa anaweza kuwa mrithi wa Papa Benedikti wa 16 ni Kardinali Francis Arinze wa Nigeria (pichani chini)






Pichani ni Mwenyekiti wa Taifa wa CCM Rais Jakaya Kikwete, Makamu wake Philip Mangula,na Katibu Mkuu wa Chama hicho Abdulrahman Kinana  wakiwa na Juliana Shonzi na Mwampamba waliohama Chadema na kujiunga na chama tawala.

Umuhimu wa tukio hilo haupo kwenye picha hiyo wala uamuzi wa wanasiasa hao kujiunga na CCM,bali ukweli kwamba katika siku za hivi karibuni, wanasiasa hao wachanga walitokea kuwa chanzo cha sokomoko ndani ya Chadema hasa kwa kutumia mitandao ya kijamii.

Kama wasemavyo waswahili,Mungu hamfichi mnafiki. Wakati Shonzi na Mwampamba walipokuwa wakipita huko na kule kujaribu kuihujumu Chadema kutoka ndani, baadhi yetu tulifahamu kuwa wanasiasa hao walikuwa wakitumiwa na CCM,chama ambacho licha ya ukongwe wake kimekuwa mahiri katika uendeshaji wa hujuma dhidi ya vyama vya upinzani.

Japo uamuzi wa wanasiasa hao kuhama Chadema na kujiunga na CCM ni matumizi ya haki zao za kidemokrasia na kikatiba, lakini kwa kiwango kikubwa kitendo hicho kinasaidia kuipa nafuu Chadema,sio tu kwa maana ya 'kuvuja kwa pakacha ni nafuu ya mchukuzi' bali pia kuuthibitishia umma kuwa kelele za hapa na pale kutoka kwa baadhi wa viongozi wa chama hicho wanaodai kuhujumiwa kwa madai ya 'ukandamizwaji wa demokrasia ndani ya Chadema' ni matokeo ya harakati zisizoisha za CCM kukihujumu chama hicho na vyama vingine vya upinzani.

Wakati Shonzi na Mwampamba wameshapata 'dakika zao 15 za umaarufu' (15 minutes of fame) ni vema wakatambua kuwa kazi waliyotumwa na 'mwajiri' wao huko CCM haikufanikiwa hasa kwa vile jitihada zote walizotumia kuichafua Chadema zimesihia kupuuzwa na watu wengi makini.

Kadhalika, ni muhimu kwao kutambua kuwa licha ya CCM kutumia kila njia-huku nyingi zikiwa ni chafu- lakini kwa hakika chama hicho sio tu kimezeeka bali kina kansa kali ambayo inyeshe mvua liwake jua lazima kitang'oka madarakani.Kama si mwaka keshokutwa 2015 basi miaka michache ijayo.

CCM itakufa kwa sababu itafika mahala Watanzania walio wengi watafikia mwafaka kuwa kuendelea kukiacha chama hicho madarakani ni sawa na ku-fast track kifo cha taifa letu.Haihitaji uelewa wa siasa za huko nyumbani kutambua kuwa vurugu mbalimbali zinazoendela kujitkeza huko nyumbani ni matokeo ya siasa za kihuni za CCM,chama ambacho kipo tayari kufanya lolote hata kama lina madhara kwake au kwa taifa,ilimradi tu kiendelee kubaki madarakani: si kwa minajili ya kutumikia umma bali kuendeleza ujambazi wa mchana kweupe (daylight robbery) kufilisi nchi yetu.

Ni wazi kuwa kuodnoka kwa Shonza na Mwampamba ni good riddance kwa Chadema...watatumika kwa siku mbili tatu kuichafua Chadema na hususan Dkt Slaa lakini mwisho wake ni kama ilivyo kwa kondomu: muhimu kabla na wakati wa tendo la ndoa,lakini uchafu usiovumilika baada ya shughuli hiyo.



12 Feb 2013


.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.

.
.
.
.
.
Picha kwa hisani ya MILLARD AYO

11 Feb 2013



 Mh Balozi wa Tanzania Peter Kallaghe aliandaa hafla fupi ya chakula cha jioni kwa ajili ya kumpongeza na kumkaribisha Tanzania Balozi mpya wa Uingereza nchini Tanzania Dianna Melrose tarehe 31.1.2012


g 031 a01d6

g 032 b2475
g 033 5b14e
g 034 13f32
g 035 b5686
g 036 21350
g 037 161d1
g 038 511b2
g 039 fd606
g 040 a343c
g 041 f46f3

Picha kwa hisani ya MJENGWA

Jasusi ChatBot

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.